Wednesday, May 19, 2010

MAFUNZO YA UPIGAJI PICHA ZA HABARI

Kijakazi Yunus na Mary Mpandula wakiandika maelezo ya picha walizopiga wakati wa mafunzo
Kutoka kulia ni Kijakazi Yunus na Athman Mtepa wakipata maelezo kutoka kwa mwezeshaji wa mafunzo Mwanzo Millinga kutoka FTMT.
waandishi wa habari mkoani Lindi wapata mafunzo ya SIKU 10 ya upigaji picha za habari, yaliyoendeshwa na FLAME TREE MEDIA TRUST (FTMT), kwa ufadhili wa Tanzania Media Fund(TMF).

No comments:

Post a Comment